Zawadi ya Ushindi

Zawadi ya Ushindi

by R. Mtobwa
Zawadi ya Ushindi

Zawadi ya Ushindi

by R. Mtobwa

eBook

$12.49  $16.00 Save 22% Current price is $12.49, Original price is $16. You Save 22%.

Available on Compatible NOOK devices, the free NOOK App and in My Digital Library.
WANT A NOOK?  Explore Now

Related collections and offers


Overview

Idd Amini, kiongozi dhalimu kutoka nchi ya Uganda, alipoiteka sehemu ya nchi ya Tanzania na kuangamiza mamia ya watu wasiokuwa na hatia, serikali ya Tanzania iliamua kumkomesha kabla hajatekeleza maafa zaidi. Iliwatuma vijana wake wakapambane naye ili kusalimisha nchi yao. Sikamona akiwa kijana barubaru aliukubali mwito wa serikali na kuingia vitani kukabiliana na Idd Amin na kikosi chake. Maisha ya Sikamona yalibadilika kabisa baada ya vita hivi. Hata ingawa walifaulu kumkomesha Idd Amin, Sikamona alibaki na makovu mengi yaliyoiharibu sura yake asijione kastahili kuitwa binadamu tena. Ni yapi yatakayotokea watakapokutana na Rusia? Atapewa Zawadi ya Ushindi ?

Product Details

ISBN-13: 9789966565938
Publisher: East African Educational Publishers
Publication date: 05/15/1984
Sold by: Barnes & Noble
Format: eBook
Pages: 90
File size: 2 MB

About the Author

The late Ben Mtobwa was one of Tanzania’s most prolific and prominent novelists. He was one of the founders of the popular novel in Swahili and is best know for his series of adventure novel featuring the investigator Joram Kiango.
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews