Katika Eneo la Adui Kuokolewa na Silaha ya Siri: Swahili

Katika Eneo la Adui Kuokolewa na Silaha ya Siri: Swahili

by Danny Clifford
Katika Eneo la Adui Kuokolewa na Silaha ya Siri: Swahili

Katika Eneo la Adui Kuokolewa na Silaha ya Siri: Swahili

by Danny Clifford

eBook

$5.99 

Available on Compatible NOOK devices, the free NOOK App and in My Digital Library.
WANT A NOOK?  Explore Now

Related collections and offers

LEND ME® See Details

Overview

Ili kuendelea kuishi nchini Vietnam, ili uweze kurudi nyumbani ukiwa mzima, unahitajika kupitia mafundisho ya hali ya juu, kupata ozoefu wa mwili na akili na kuwa na uhusiano mwema na wenzako. Kama tungeshindwa kuwa makini, kutotii, kupuuza, au kutozingatia nia yetu kuu mahali pale, basi idadi ya kuishi ilipungua kwa kiasi kikubwa.

Niamini nikisema, kuna mambo mengi yalituzuia. Baadhi yetu tulianza kutumia madawa ya kulevya, unywaji wa pombe, kushiriki ngono kihorera, haya yote katika harakati ya kutafuta maisha ya kupendeza, hatari nyingine ilikua inatukondolea macho, hata kabla twende vitani kupigana na makali ya adui zetu, kabla tuwapate nyoka, magonjwa, na wanyama wa pori walioishi katika maeneo haya

Kitabu hiki kinaelezea matukio ya kusisimua ambayo nilipitia mimi mwenyewe, mafunzo niliyopata, nilivyopata uzoefu na kuwa na uhusiano mwema na wenzangu, nikiwa mwanajeshi wa Marekani katika kikosi cha 75 cha wanahewa wa kupiga doria mnamo mwaka wa 1969 na 1970, tukifanya upelelezi katika maeneo ya adui zetu.

Ni mwaka wa 1971, nikihudumu kama mshauri wa washika doria wa kikosi cha pili milimani, ndani ya msitu katika eneo lililopakana na kambi ya sita katika kijiji cha Plei Mrong, Kusini mwa Vietnam kupakana na nchi ya Cambodia. Jukumu langu lilikuwa kufundisha kikosi cha Mountain Yard na wanajeshi wa Vietnam kuhusu mbinu za kivita na jinsi ya kuwahamisha wanakijiji walioathiriwa na vita.

Matukio haya yatakutoa katika vita vya kimwili nchini Vietnam hadi kwenye vita vya kiroho vinavyoendelea kila siku kwa ajili yako. Maswali mengi kuhusu ulimwengu wa kiroho yatapata majibu na imani yako itachukua mwelekeo mpya. Ombi langu ni kwamba, kupitia kitabu hiki, utapata mtazamo mpya kuhusu vita vinavyoendelea kila siku kati ya wema (Mungu) na ubaya (Shetani) kwa ajili ya nafsi yako, wewe binafsi.
Kwa hivyo tulia na ufurahie kisa hiki kifupi, ingawa kina uzito wake. Lengo langu ni kuwa ukimaliza kukisoma kitabu hiki, utakuwa umemfahamu kabisa mshindi wa Medali ya Heshima ambaye ni Mwokozi Yesu Kristo. Yesu anakupenda na anataka kuwa na uhusiano mwema na wewe, uhusiano utakao leta mabadiliko kwa nafsi yako, kutoka kiumbe ulicho sasa hadi kiumbe kipya. Roho yako ndio msingi wa kitabu hiki.
Mwandishi Danny Clifford


Product Details

BN ID: 2940046391398
Publisher: Danny Clifford
Publication date: 11/02/2014
Sold by: Smashwords
Format: eBook
File size: 720 KB
Language: Swahili

About the Author

Thank - you for stopping by

I am a Vietnam War Veteran who served as an Army Airborne Recondo Ranger from 1969 to 1971. I performed reconnaissance missions with a sex-man Ranger team and was also an adviser to the Vietnamese Rangers.

Today I am a Pastor and multi-published author who teaches the Holy Bible. I am fortunate to have traveled during the past 7 years to Ghana, Kenya, Kosovo, Pakistan, Rwanda, Tanzania, Uganda, and back to Pakistan teaching the Gospel of Jesus Christ.

I am blessed to be a father and grandfather who enjoys fishing, hunting, and spending time with family and doing God's work.

I am also a retired Master Instructor, 4th Degree Black Belt in the Martial Art of Taekwondo, certified by the World Taekwondo Federation in Seoul, Korea. I was the coach of the State of Maine’s Junior Olympic Taekwondo Teams that attended the United States Nation Championship competitions each year from 1993 to 2002. competing

I hope you read, enjoy, and are blessed, by my books; Lost Behind Enemy Lines - Who Do You Say I Am - and - Enter Thru the Narrow Gate.

You may contact me by email at the ministry email: danny@ziongarden.org

God Bless you,
Author and Evangelist
Danny Clifford

From the B&N Reads Blog

Customer Reviews