Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani

Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani

by Grace Zuzo
Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani

Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani

by Grace Zuzo

Paperback

$10.99 
  • SHIP THIS ITEM
    Qualifies for Free Shipping
  • PICK UP IN STORE
    Check Availability at Nearby Stores

Related collections and offers


Overview

Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.


Product Details

ISBN-13: 9781088089590
Publisher: Grace Zuzo's books
Publication date: 01/26/2023
Pages: 32
Product dimensions: 8.50(w) x 8.50(h) x 0.07(d)
Language: Swahili
Age Range: 1 - 12 Years
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews